Friday, April 18, 2014

TEMA MATE TUMCHAPE

Nani mtani jembe?
Nyumba ya mlevi mmoja nje kuna shimo kubwa la maji bila mfuniko. Siku moja karudi usiku kalewa toooop mambo yakawa hivi:
MUME: fungua mlango!
MKE: leo sifungui! Nimechoshwa na ulevi wako.
MUME: kama hufungui najitupa kwenye shimo nife                kabisa.
MKE. Kufa huna faida yoyote duniani.
MUME: kachukua jiwe kubwa kalitupa kwenye                     shimo dubwi!
MKE kajifunga kanga, kafungua mlango. Ghafla                 mume kaingia ndani na kumfungia mke nje.
MKE: Nifungulie la sivyo nitapiga kelele majirani                waje.
MUME: Piga kelele na wakija uwambie unatoka                       wapi usiku huu na kanga moja.

                  Nani jembe hapo, mume au mke? 
Tuma ujumbe wa kufurahisha  0763891415, ili watu wacheke.

No comments: