Tuesday, September 3, 2013

TEMBEA UJIONEEE


                                      TEMBEA UJIONEE

Ndugu historia ya mtu yeyote yule hutengenezwa na kukamilishwa na mambo mengi sana lakini moja kati ya mambo muhimu ni kutembea, kutembea hufanya historia ya kupendeza mbele ya watu wanaosikia historia yake tofauti na mtu aliyezaliwa Ntendo na kuishia Ntendo. Kabla ya kukuonesha mambo mengi tuliyojifunza katika safari ya nchini Rwanda katika mji mkuu wa Kigali, safari hii ilisheheni watu mbalimbali wakiwemo waswahili toka Kenya, Uganda, Burundi, Tanzania na Rwanda kama mwenyeji wa kongamano la Kiswahili la tisa ambalo lilihusisha wanafunzi wa vyuo vikuu wanasoma Kiswahili katika nchi za afrika mashariki na kati, (CHAWAKAMA), baada ya kukujulisha hayo ni vema sasa kuiangalia baadhi ya mitaa Kigali na vitongoji vyake.
  
                                            HARRY KAPELE, AKIGHANI SHAIRI
                                            MTAA WA KIGALI- USAFIRISHAJI
                                                JIJI LA KIGALI
                                               ENEO LA BIASHARA KIGALI
                                             JENGO LA BWENI LA WANAWAKE KIE
                                          MADARASA KATIKA TAASISI YA ELIMU KIGALI
                                       BASI LA CHUO CHA ELIMU KIGALI
                                         NGOMA ZA UTAMADUNI WA WANYARUANDA
                                             VIONJO VYA MNYARU
                                            MBELE KAPELE NA WACHEZA NGOMA KIGALI
                                          ASANTE CHAWAKAMA
                           BAADHI YA WANACHAWAKAMA WAKIFANYA USAFI-KIGALI
                          ALIYESIMAMA WAPILI TOKA KUSHOTO DR. SCIPRIANE- WAKIGALI
                                                 KAZI NI KAZI, USAFI KWANZA
                                                 TANZANIA USAFI NI WAKO

No comments: